Category Archives: MAWAZO 10

Mawazo 10 ya kuingiza fedha kupitia ufundi wa

By | June 16, 2021

Mawazo 10 ya kuingiza fedha kupitia ufundi wa simu. Karibu kila mtu sasa anatumia simu ya mkononi. Kwa mazingira ya wengi, simu zao zimekuwa zinaharibika mara kwa mara na kuhitaji matengenezo. Hilo linatoa fursa mbalimbali za kuingiza kipato kupitia ufundi wa simu. Hapa kuna mawazo kumi ya kuingiza kipato kupitia (more…)

Mawazo 10 ya kuingiza fedha kupitia biashara ya

By | June 14, 2021

Mawazo 10 ya kuingiza fedha kupitia biashara ya nguo. Hakuna siku watu watatembea uchi duniani, hivyo mavazi yanabaki kuwa hitaji la msingi kabisa kwa wanadamu. Japo ni biashara yenye changamoto kubwa ya ushindani, maana wengi huona ndiyo biashara rahisi kwao kuingia na kufanya. Hapa kuna mawazo 10 ya kuingiza fedha (more…)

Mawazo 10 ya kuingiza fedha kupitia biashara ya

By | June 13, 2021

Mawazo 10 ya kuingiza fedha kupitia biashara ya mbao. Samani mbalimbali zinatengenezwa kwa kutumia mbao. Hilo linafanya uhitaji wa mbao kuwa mkubwa na kutoa fursa ya kibiashara kwa wale wanaoweza kushughulika na upatikanaji wa mbao. Hapa ni mawazo 10 ya kuingiza kipato kupitia biashara ya mbao. Kununua na kuuza mbao (more…)

Mawazo 10 ya kuingiza kipato kupitia ukalimani wa

By | June 8, 2021

Mawazo 10 ya kuingiza kipato kupitia ukalimani wa lugha. Kadiri dunia inavyoungana na kushirikiana, watu wanahitaji kushirikiana kwenye shughuli mbalimbali. Lakini lugha huwa ni kikwazo katika ushirikiano huo. Hapo inajitokeza fursa ya ukalimani, ambapo mtu anayezielewa vizuri lugha mbili, anaweza kusaidia kwenye mawasiliano. Hapa ni njia kumi za kuingiza kipato (more…)

Mawazo 10 ya kuingiza fedha ushonaji wa nguo.

By | June 3, 2021

Mawazo 10 ya kuingiza fedha ushonaji wa nguo. Ufundi wa kushona nguo huwa unaonekana ni kitu ambacho kila mtu anaweza kujifunza na kufanya. Na hivyo wengi wamekuwa hawalipi uzito hilo, wale wanaofanya hubaki wakifanya kwa mazoea na kulalamika hawawezi kuingiza kipato kwa njia hiyo. Hapa kuna mawazo kumi ya kuingiza (more…)

Mawazo 10 ya kuingiza fedha kwa kutumia pikipiki.

By | June 2, 2021

Mawazo 10 ya kuingiza fedha kwa kutumia pikipiki. Kila mtu anapofikiria kuingiza kipato kwa pikipiki anafikiria njia moja iliyozoeleka ambayo ni bodaboda. Hilo limepelekea bodaboda kuwa nyingi mitaani na ushindani kuwa mkali. Kuna njia nyingine nyingi za kuingiza kipato kwa kutumia pikipiki. Hapa ni 10 katika njia hizo. Njia iliyo (more…)

Mawazo 10 ya kuingiza fedha kupitia sanaa.

By | June 1, 2021

Mawazo 10 ya kuingiza fedha kupitia sanaa. Sanaa ni eneo ambalo linawaburudisha watu. Kwa kuwa watu wanapenda burudani, huwa tayari kulipia ili kuipata. Zipo fursa nyingi za kuingiza kipato kupitia sanaa. Hapa ni mawazo kumi unayoweza kufanyia kazi. Kuwa msanii, iwe ni uimbaji, uchoraji, uigizaji n.k. Kuwa meneja wa msanii. (more…)

Mawazo 10 ya kuingiza fedha kupitia soko la

By | May 31, 2021

Mawazo 10 ya kuingiza fedha kupitia soko la hisa… Wengi wanaposikia hisa huwa wanaona ni kitu kikubwa na wasichoweza kujihusisha nacho kwa sababu hawana uelewa. Lakini siyo kitu chenye ukubwa wa kutisha, yeyote anaweza kujifunza na kulielewa soko la hisa kisha kulitumia kuingiza kipato. Hapa kuna njia kumi za kuingiza (more…)