Category Archives: MAWAZO 10

Mawazo 10 ya kuingiza fedha kupitia kilimo.

By | May 28, 2021

Mawazo 10 ya kuingiza fedha kupitia kilimo. Kilimo ni sekta yenye uhitaji mkubwa kwa sababu ndipo tunapopata chakula. Na kadiri idadi ya watu inavyoongezeka duniani huku watu wakiishi miaka mingi, mahitaji ya chakula yanaongezeka. Hapa ni mawazo kumi ya kuingiza kipato kupitia kilimo. Kuingia shambani na kulima moja kwa moja. (more…)

Mawazo 10 Ya Kuingiza Fedha Kama Mwalimu.

By | May 26, 2021

Mawazo 10 Ya Kuingiza Fedha Kama Mwalimu. Kupitia taaluma ya ualimu, kuna njia nyingi za kuingiza kipato. Hapa ni njia kumi ambazo mtu anaweza kutumia kuingiza kipato kwa taaluma hiyo. Kuajiriwa kama mwalimu. Kufundisha wanafunzi masomo ya ziada (tuition). Kujiajiri kama mwalimu kwa kufungua shule au chuo chako. Kuandika kitabu (more…)

Mawazo 10 ya kuingiza fedha kupitia ulichosomea.

By | May 25, 2021

Mawazo 10 ya kuingiza fedha kupitia ulichosomea. Tatizo kubwa la mfumo wa elimu unaotumika sasa ni kuwaandaa wanafunzi kwa njia moja tu ya kuingiza kipato, kuajiriwa. Wanafunzi wanafanya vizuri na kuhitimu, lakini nafasi za ajira hakuna. Kinachotokea ni wengi kukata tamaa na kuona elimu waliyopata haina maana. Elimu yoyote uliyopata (more…)

Mawazo 10 ya kuingiza kipato kupitia uandishi wa

By | May 24, 2021

Mawazo 10 ya kuingiza kipato kupitia uandishi wa vitabu. Huwa nasema kila mtu ni kitabu kinachotembea. Maisha uliyoishi mpaka sasa kuna mengi umejifunza na kupitia ambayo ukiweka kwenye maandishi wengine wanaweza kukifunza pia. Pamoja na uandishi kuwa njia ya kushirikisha uzoefu wako kwa wengine, pia ni njia ya kuingiza kipato. (more…)

Mawazo 10 ya kuingiza fedha kwa kutumia blogu.

By | May 23, 2021

Mawazo 10 ya kuingiza fedha kwa kutumia blogu. Blogu ni kitu ambacho kila mtu anaweza kuanzisha na kuendesha kama una msukumo mkubwa ndani yako wa kushirikisha kile unachojua, unachojifunza au ulicho na uzoefu nacho. Hapa kuna mawazo kumi ya kuingiza kipato kwa kutumia blogu. Kuweka matangazo ya adsense, hapa unaunganisha (more…)

Mawazo 10 ya kuingiza fedha kupitia mtandao wa

By | May 22, 2021

Mawazo 10 ya kuingiza fedha kupitia mtandao wa intaneti. Mtandao wa intaneti umeleta mapinduzi makubwa duniani, umerahisisha kila kitu ikiwepo kuingiza kipato. Hapa kuna mawazo kumi unayoweza kutumia kuingiza kipato kwa kutumia mtandao wa intaneti mara moja. Anzisha blog ambayo utaweka maudhui mbalimbali na kisha kuitumia kuweka matangazo au kuuza (more…)

Mawazo 10 ya kuingiza fedha kupitia simu yako.

By | May 21, 2021

Mawazo 10 ya kuingiza fedha kupitia simu yako. Kama unatumia simu janja (smartphone) na una mtandao wa intanetu, una fursa nyingi za kuingiza kipato. Hapa kuna mawazo kumi unayoweza kutumia kuingiza fedha kwa simu yako. Fursa ya kujifunza zaidi. Kujifunza na kubobea kwenye chochote unachofanya ni njia ya uhakika ya (more…)