#TAFAKARI YA LEO; JIWEKEE UKOMO…
Siku mpya, Siku nzuri, Na siku tuliyokuwa tunaisubiri sana imewadia. Ni ile siku ambayo tulijiambia kesho tutafanya hivi. Kesho ndiyo imeshafika na sasa ni wajibu kwetu kwenda kufanya kile tulichojiahidi kufanya. Msingi wetu wa maisha ya mafanikio ni NIDHAMU, UADILIFU NA KUJITUMA pamoja na mwongozo wa TATUA, AMUA NA ONGOZA (more…)
