Category Archives: KUTOKA KWA KOCHA

Hizi ni makala kwa wasomaji wote wa KISIMA CHA MAARIFA.

#TAFAKARI YA LEO; TABIA NA SIFA…

By | September 17, 2018

“Be more concerned with your character than with your reputation. Your character is what you really are, while your reputation is merely what others think you are.” – Coach John Wooden. AMKA Mwanamafanikio, AMKA kwenye siku hii nyingine nzuri sana na ya kipekee kwetu. Siku ambayo tumepata nafasi nyingine nzuri (more…)

BIASHARA LEO; Kuwapa Wateja Uhakika Wa Kile Unachowauzia…

By | September 13, 2018

Mbinu zote za kuwashawishi wateja kununua zimeshatumiwa sana kiasi kwamba wateja hawajui waamini kipi kati ya vingi wanavyoambiwa na kila mfanyabiashara. Sifa zote za bidhaa au huduma ambazo watu wanauza zimeshaelezwa mpaka mteja anakuwa na wasiwasi kama kweli sifa zinazoelezwa zipo. Lakini kuna kitu kimoja ambacho kinamshawishi kila mteja na (more…)

#TAFAKARI YA LEO; USITAFUTE KOSA, TAFUTA SULUHISHO…

By | September 13, 2018

“Don’t find fault. Find a remedy.” —Henry Ford Hongera sana mwanamafanikio kwa siku hii nyingine nzuri sana ya leo. Ni nafasi bora na ya kipekee sana kwetu kwenda kuweka juhudi kubwa ili kuweza kupata matokeo bora sana. Kwa msingi wa NIDHAMU, UADILIFU NA KUJITUMA pamoja na mwongozo wa TATUA, AMUA (more…)

#TAFAKARI YA LEO; KUSHINDWA SIYO TUKIO, NI MCHAKATO…

By | September 11, 2018

“Failure is not a single, cataclysmic event. You don’t fail overnight. Instead, failure is a few errors in judgment, repeated every day.” —Jim Rohn Siku mpya, Siku bora, Na siku ya kipekee sana kwetu wanamafanikio kwenda kuweka juhudi kubwa ili kuweza kupata matokeo bora sana. Kwa msingi wa NIDHAMU, UADILIFU (more…)

#TAFAKARI YA LEO; UNACHOWEZA KUFANYA, UNAWEZA KUTOKUFANYA…

By | September 10, 2018

“What lies in our power to do, lies in our power not to do.” — Aristotle Hongera sana mwanamafanikio kwa siku hii nyingine nzuri sana ya leo. Ni nafasi bora na ya kipekee sana kwetu kwenda kuweka juhudi kubwa ili kuweza kupata matokeo bora sana. Kwa msingi wa NIDHAMU, UADILIFU (more…)