Category Archives: #TAFAKARI YA LEO

#TAFAKARI YA LEO; JIFUNZE KUJIELEZA NA SIYO KUJIONESHA…

By | December 7, 2018

“Learn to express, not impress.” – Jim Rohn Siku mpya, Siku bora, Siku ya kipekee sana kwetu. Tumapata nafasi nyingine nzuri sana kwetu kwenda kuweka juhudi kubwa ili kuweza kupata matokeo bora sana. Kwa msingi wetu wa NIDHAMU, UADILIFU NA KUJITUMA pamoja na mwongozo wa TATUA, AMUA NA ONGOZA tunakwenda (more…)

#TAFAKARI YA LEO; WATAFUTE WANAOCHOCHEA MOTO…

By | December 5, 2018

“Set your life on fire. Seek those who fan your flames.” ~ Rumi Amka mwanamafanikio, Amka siyo tu kutoka kwenye usingizi, bali kutoka kwenye maisha ya kawaida, maisha ambayo hayana uelekeo na amka uweke sawa uelekeo wa maisha yako. Amka ujikumbushe malengo yako makubwa kwa kuyaandika, Na amka uipangilie siku (more…)

#TAFAKARI YA LEO; WATU WASIO NA MUDA…

By | December 1, 2018

Hongera sana mwanamafanikio kwa nafasi hii nyingine nzuri ambayo tumeipata leo. Ni fursa bora na ya kipekee sana kwetu kwenda kuweka juhudi kubwa ili kuweza kupata matokeo bora sana. Kwa msingi wetu wa NIDHAMU, UADILIFU NA KUJITUMA pamoja na mwongozo wa TATUA, AMUA NA ONGOZA tunakwenda kufanya makubwa leo na (more…)

💥 #TAFAKARI YA LEO; WAFUNDISHE, WAVUMILIE AU ACHANA NAO…

By | November 28, 2018

“Human beings have been made for the sake of one another. Teach them or endure them.” – Marcus Aurelius Ni nafasi nyingine nzuri na ya kipekee sana kwetu, Ni fursa ya kipekee kwetu kwenda kuweka juhudi kubwa ili kuweza kupata matokeo bora sana. Kwa msingi wetu wa NIDHAMU, UADILIFU NA (more…)