Category Archives: #TAFAKARI YA LEO

#TAFAKARI YA LEO; USIHARIBU ULICHONACHO KWA KUTAMANI USICHOKUWA NACHO…

By | December 15, 2018

“Do not spoil what you have by desiring what you have not; remember that what you now have was once among the things you only hoped for.” ― Epicurus Tumeipata nafasi nyingine nzuri siku ya leo, Nafasi ya kwenda kuweka juhudi kubwa ili kuweza kupata matokeo makubwa sana. Tunapaswa kuitumia (more…)

#TAFAKARI YA LEO; KAMA UTAKUFA UKIWA UNAFANYA…

By | December 14, 2018

“Always read something that will make you look good if you die in the middle of it.” — P.J. O’Rourke Ni upendeleo wa kipekee sana kwetu kuweza kuiona siku hii nyingine mpya na nzuri kwetu. Hakuna kikubwa tulicholipa ili kuiona siku hii, ambacho wale ambao hawajaiona wameshindwa kulipa. Hivyo kitu (more…)

#TAFAKARI YA LEO; KINACHOKUCHOSHA ZAIDI…

By | December 13, 2018

“Nothing is so exhausting as indecision, and nothing is so futile.” — Bertrand Russell Siku mpya, Siku bora na ya kipekee sana kwetu. Ni nafasi nyingine bora sana kwetu kwenda kuitumia siku hii kwa kufanya makubwa zaidi ya tulivyozoea. Ianze siku hii kwa shukrani kwa sababu siyo wote walioiona. Pia (more…)

#TAFAKARI YA LEO; USHAURI UNAOWAPA WENGINE, NI USHAURI UNAOUHITAJI WEWE…

By | December 12, 2018

“The advice we give others is the advice that we ourselves need.” Hongera sana mwanamafanikio kwa siku hii nyingine nzuri sana ya leo. Ni nafasi bora na ya kipekee sana kwetu kwenda kuweka juhudi kubwa ili kuweza kupata matokeo bora sana. Kwa msingi wetu wa NIDHAMU, UADILIFU NA KUJITUMA pamoja (more…)

#TAFAKARI YA LEO; ACHA MARA MOJA…

By | December 10, 2018

Hongera sana mwanamafanikio kwa siku hii nyingine nzuri sana ya leo. Tumepata nafasi nyingine bora sana kwetu kwenda kuweka juhudi kubwa ili tuwezw kupata matokeo bora sana. Kwa msingi wetu wa NIDHAMU, UADILIFU NA KUJITUMA pamoja na mwongozo wa TATUA, AMUA NA ONGOZA tunakwenda kufanya makubwa leo na kila siku (more…)

#TAFAKARI YA LEO; FANYA KILICHO SAHIHI…

By | December 9, 2018

Marcus Aurelius’s admonishment to himself, “Just that you do the right thing. The rest doesn’t matter. Cold or warm. Tired or well-rested. Despised or honored.” Hongera sana mwanamafanikio kwa siku hii nyingine nzuri sana ya leo. Ni nafasi bora na ya kipekee sana kwetu kwenda kuweka juhudi kubwa ili kuweza (more…)

💥 #TAFAKARI YA LEO; UNACHOKIKIMBIA KIPO NDANI YAKO…

By | December 8, 2018

“The things you run from are inside you” Hongera mwanamafanikio kwa siku hii nyingine nzuri sana ya leo. Ni nafasi bora na ya kipekee sana kwetu kwenda kuweka juhudi kubwa ili kuweza kupata matokeo bora sana. Kwa msingi wetu wa NIDHAMU, UADILIFU NA KUJITUMA pamoja na mwongozo wa TATUA, AMUA (more…)