Category Archives: #TAFAKARI YA LEO

#TAFAKARI YA LEO; UNAVUNA ULICHOPANDA…

By | October 24, 2020

“Whatever we plant in our subconscious mind and nourish with repetition and emotion will one day become a reality” — Earl Nightingale Watu huwa wanayalalamikia maisha yao wakiamini kuna watu wamepelekea wao kufika pale walipo sasa. Lakini ukweli ni kwamba popote mtu alipo, ni mavuno ya kile alichopanda kwenye fikra (more…)

#TAFAKARI YA LEO; KUJUA HUJUI…

By | October 23, 2020

“As your island of knowledge grows, so too does the shoreline of ignorance.” – John Wheeler Watu wengi hufikiri lengo la kujifunza ni kujua kila kitu. Kabla hawajaanza kujifunza, huamini wanajua karibu kila kitu. Hivyo wanapoingia kwenye kujifunza, hasa kwa kujisomea vitabu ndiyo wanakutana na ukweli ambao hawajawahi kuujua. Kadiri (more…)

#TAFAKARI YA LEO; HATIMA YAKO NI MAAMUZI YAKO…

By | October 22, 2020

“The only person you are destined to become is the person you decide to be.” Ralph Waldo Emerson Watu huwa wanaamini kwamba kila mtu anazaliwa na hatima ya maisha yake. Kwamba mtu anazaliwa akiwa ameshapangiwa kabisa atakuwa na maisha ya aina gani. Wale wanaoamini hivi ndiyo ambao huwa hawaweki juhudi (more…)

#TAFAKARI YA LEO; KILA KINACHOTOKEA KITAKUWA NA MATUMIZI KWAKO…

By | October 21, 2020

Do not be concerned too much with what will happen. Everything which happens will be good and useful for you. — Epictetus Mtu mmoja alipotelewa na farasi aliyekuwa anamtegemea sana, majirani zake wakaja kumpa pole kwa upotevu huo. Siku chache baadaye farasi aliyepotea akarudi akiwa na farasi wengine wawili wa (more…)

#TAFAKARI YA LEO; SIYO UNACHOPATA, BALI UNACHOTOA…

By | October 20, 2020

“When you approach a man, you should think not about how he can help you, but how you might serve and help him.” – Leo Tolstoy Mara nyingi unapokutana na mtu huwa unaangalia anawezaje kukusaidia badala ya kuangalia unawezaje kumhudumia. Hata kwenye kazi na biashara, unaangalia nini unachopata na siyo (more…)

#TAFAKARI YA LEO; UTAPIMWA KWA VIWANGO VYAKO MWENYEWE…

By | October 17, 2020

“In the world people take a man at his own estimate; but he must estimate himself at something. Disagreeableness is more easily tolerated than insignificance.” – Johann Wolfgang von Goethe Watu huwa wanakuchukulia kwa namna unavyojichukulia wewe mwenyewe. Kama unajiheshimu basi pia watu watakuheshimu. Na kama unajidharau na wao pia (more…)

#TAFAKARI YA LEO; USIKIMBILIE KUCHUKUA HATUA UKIWA NA HASIRA…

By | October 16, 2020

“The cause of anger is the sense of having been wronged, but one ought not trust this sense. Don’t make your move right away, even against what seems overt and plain; sometimes false things give the appearance of truth.” – Seneca Hasira huwa ni zao la hisia, pale unapoamini kwamba (more…)

#TAFAKARI YA LEO; USISUBIRI HAMASA, ANZA KUFANYA…

By | October 15, 2020

“Amateurs sit and wait for inspiration, the rest of us just get up and go to work.” – Stephen King Kitu kikubwa kinachowatofautisha wabobezi na wachanga ni hamasa. Wachanga huwa wanasubiri hamasa ije ndiyo waanze kufanya. Na kwa sababu hamasa haitabiriki wala haitegemeki, huwa wanachelewa kuanza kufanya na hivyo hawafanyi (more…)