Category Archives: #TAFAKARI YA LEO

#TAFAKARI YA LEO; HAMASA NA KIPAJI PEKEE HAVITOSHI…

By | November 1, 2020

“As habit is more dependable than inspiration, continued learning is more dependable than talent.” — Octavia Butler Ili kuanza kufanya kitu, unahitaji kuwa na hamasa ndani yako ya kukifanya. Lakini hamasa huwa haidumu, ni kitu cha muda mfupi tu. Hivyo ili uendelee kufanya, unapaswa kujijengea tabia, ikishakuwa tabia, inakuwa rahisi (more…)

#TAFAKARI YA LEO; USISEME, ONESHA…

By | October 31, 2020

“Don’t talk about your philosophy, embody it.” – Epictetus Kusema ni rahisi na matendo ni magumu. Huwa tunapenda kusema kuliko kutenda. Lakini matendo yana sauti kubwa kuliko maneno. Hivyo kama unataka kueleweka na wengine, usiwe tu mtu wa kusema kwa maneno, badala yake onesha kwa vitendo. Chochote unachosimamia kwenye maisha (more…)

#TAFAKARI YA LEO; UMASIKINI NA UTAJIRI…

By | October 30, 2020

“If you shape your life according to nature, you will never be poor. If you shape your life according to people’s opinions, you will never be rich.” – Epicurus Ukiyaendesha maisha yako kulingana na asili, kamwe huwezi kuwa masikini. Kwa sababu asili inataka mambo machache sana na ambayo yako ndani (more…)

#TAFAKARI YA LEO; KITAKACHOBADILI MAISHA YAKO…

By | October 27, 2020

“Life will only change when you become more committed to your dreams than you are to your comfort zone.” – Bill Cox Maisha yako yatabadilika pale utakapojitoa zaidi kwa ajili ya ndoto zako kubwa kuliko kujitoa zaidi kwenye mazoea. Vita ya kwanza na kubwa kabisa unayopaswa kuishinda ni kuachana na (more…)

#TAFAKARI YA LEO; UNAJALI MAONI YA NANI?

By | October 25, 2020

“It never ceases to amaze me: We all love ourselves more than other people, but care more about their opinion than our own.” — Marcus Aurelius Kila mtu huwa anajipenda mwenyewe kuliko anavyowapenda wengine. Hii ndiyo njia pekee iliyotuwezesha sisi binadamu kufanikiwa. Maana kwa kujipenda na kujijali, inakuwa rahisi kuwapenda (more…)