#TAFAKARI YA ASUBUHI; KUBALI KUPITWA…
“If you wish to improve, be content to appear clueless or stupid in extraneous matters.” — Epictetus Uteja wa habari na mitandao ya kijamii huwa unatengenezwa na kitu kimoja, hofu ya kupitwa. Unatembelea mitandao hiyo kila mara na kufuatilia kila habari kwa kuhofia usipofanya hivyo basi utapitwa. Unahofia kuna mambo (more…)
