Category Archives: #TAFAKARI YA LEO

#TAFAKARI YA ASUBUHI; KUBALI KUPITWA…

By | July 6, 2020

“If you wish to improve, be content to appear clueless or stupid in extraneous matters.” — Epictetus Uteja wa habari na mitandao ya kijamii huwa unatengenezwa na kitu kimoja, hofu ya kupitwa. Unatembelea mitandao hiyo kila mara na kufuatilia kila habari kwa kuhofia usipofanya hivyo basi utapitwa. Unahofia kuna mambo (more…)

#TAFAKARI YA ASUBUHI; MAISHA MAZURI KWAKO UNAYAJUA…

By | July 5, 2020

“There’s only one very good life and that’s the life you know you want and you make it yourself.” — Diana Vreeland Ndani kabisa ya moyo wako, unajua ni maisha ya aina gani unayoyataka. Unajua kabisa maisha mazuri kwako yakoje, Unajua nini unapenda kufanya na wapi unataka kufika. Umekuwa unajua (more…)

#TAFAKARI YA ASUBUHI; USILIPE UBAYA KWA UBAYA…

By | July 4, 2020

“To punish others is like putting more wood in the fire. Every crime already has punishment in itself, and it is more cruel and more just than the punishment created by people.” – Leo Tolstoy Kwenye maisha kuna watu huwa wanafanya mambo mbalimbali ambayo yanatukwaza au kutuumiza. Hali hiyo inapotokea, (more…)

#TAFAKARI YA ASUBUHI; KIKWAZO NDIYO NJIA, UDHAIFU NDIYO UIMARA…

By | July 3, 2020

“What we perceive as limitations have the potential to become strengths greater than what we had when we were ‘normal’ or unbroken…when something breaks, something greater often emerges from the cracks.” — Nnedi Okorafor Kile unachoona kama kikwazo kwako kufika kula unakotaka kufika, ndiyo njia unayopaswa kuitumia kufika unakotaka. Ule (more…)

#TAFAKARI YA ASUBUHI; SUMU YA UBUNIFU…

By | July 2, 2020

Kila mmoja wetu ana utofauti na upekee ndani yake, Lakini ni wachache sana ambao wanaweza kubaki na utofauti waliozaliwa nao. Wengi hupoteza upekee wao na kujikuta wakiendesha maisha ya kawaida ambayo hayawatofautishi na wengine. Kitu ambacho kinachangia kuwazuia wasifanikiwe. Kuna sumu kubwa mbili ambazo zimekuwa zinaua upekee na utofauti ulio (more…)

#TAFAKARI YA ASUBUHI; KITU MUHIMU ZAIDI KWAKO KIFANYA…

By | July 1, 2020

“Concentrate on what’s in front of you like a Roman. Do it like it’s the last and most important thing in your life.” – Marcus Aurelius Wengi huanza siku zao wakiwa na mipango mbalimbali, Wanamaliza siku hizo wakiwa wamechoka kweli kweli, Lakini wakiangalia walichofanya, hawaoni. Wamesumbuka siku nzima na kuchoka, (more…)

#TAFAKARI YA ASUBUHI; FANYA AU USIFANYE, USIWEKE SABABU…

By | June 30, 2020

“People who want to write either do it or they don’t.” — Octavia Butler Kama kuna kitu unataka kufanya, una machaguo mawili, kukifanya au kutokukifanya. Chochote zaidi ya hayo mawili ni kujidanganya tu. Kama unataka kuandika, unachagua kuandika au kutokuandika, Kujiambia utaandika ukiwa na muda ni kujidanganya. Kama unataka kuanzisha (more…)

#TAFAKARI YA ASUBUHI; WATAKUHUKUMU KWA UNACHOFANYA…

By | June 28, 2020

“People who watch you judge you on what you do, not how you feel.” – CUS D’AMATO Watu wanaokuangalia huwa wanakuhukumu kwa kile unachofanya na siyo jinsi unavyojisikia. Unachofanya kinaonekana na kila mtu, Hisia zako unazijua mwenyewe. Hivyo unapaswa kuwa makini, usiruhusu hisia zikusukume kufanya kile ambacho siyo sahihi. Hata (more…)