Category Archives: #TAFAKARI YA LEO

#TAFAKARI YA ASUBUHI; DARASA NI GEREZA, MAKTABA NI UHURU..

By | June 5, 2020

“I was made for the library, not the classroom.The classroom was a jail of other people’s interests. The library was open, unending, free.” — Ta-Nehisi Coates Unapokuwa shuleni, haupo huru kujifunza yale unayotaka kujua kwa kina, Badala yake utapangiwa ni maarifa ya aina gani upate, Na kwa kuwa unapimwa kwa (more…)

#TAFAKARI YA ASUBUHI; UKOMBOZI UPO KWENYE FIKRA…

By | June 4, 2020

“The salvation of mankind depends upon independent thinkers directing their thoughts rightly.” —RALPH WALDO EMERSON Ukombozi wetu sisi binadamu upo kwenye fikra zetu, Hivyo bila ya watu kuwa huru kufikiri na kupeleka fikra hizo sehemu sahihi, wataishia kuwa watumwa kwa watu wengine. Na hiki ndiyo kinachoendelea sasa, Watu wameacha kabisa (more…)

#TAFAKARI YA ASUBUHI; UNAPODHANI UNAJUA, HUJUI.

By | June 2, 2020

“He who is looking for wisdom is already wise; and he who thinks that he has found wisdom is a stupid man.” —EASTERN WISDOM Yule aliye tayari kujifunza kila wakati ndiye mwenye hekima, Lakini yule ambaye anafikiri tayari ameshajua kila kitu ni mpumbavu. Ujuaji umewakwamisha wengi sana, Hasa kwa zama (more…)

#TAFAKARI YA ASUBUHI; FURAHA ISIYOONDOKA NA CHOCHOTE…

By | May 31, 2020

“Take from a person who follows the divine law everything which other people think of as comfort and wealth, and nevertheless such a person will remain happy.” – Leo Tolstoy Furaha ya kweli ni ile ambayo haiwezi kuondoka au kuondolewa na chochote. Hata pale mtu anapopoteza kila alichonacho, bado anaendelea (more…)

#TAFAKARI YA ASUBUHI; UNASUMBUKA KWA YASIYO MUHIMU…

By | May 30, 2020

“People strive in this world, not for those things which are truly good, but for the possession of many things which they can call their property.” – Leo Tolstoy Maisha yetu wanadamu yamejawa na kila aina ya vikwazo na changamoto. Kila wakati kuna kitu ambacho tunakabiliana nacho, Kitu kinachotunyima usingizi, (more…)

#TAFAKARI YA ASUBUHI; USIJIDANGANYE, LOLOTE LAWEZA KUTOKEA…

By | May 28, 2020

“In the meantime, cling tooth and nail to the following rule: not to give in to adversity, not to trust prosperity, and always take full note of fortune’s habit of behaving just as she pleases.” — SENECA Asili huwa ina tabia ya kutushtukiza kwa mambo mbalimbali. Pale tunapofikiri mambo yetu (more…)