Category Archives: #TAFAKARI YA LEO

#TAFAKARI YA ASUBUHI; SIYO KWA MANUFAA YAKO PEKEE…

By | June 16, 2020

“The improvement of society can be achieved only by the moral improvement of individuals.” – Leo Tolstoy Msukumo mkuu kwetu kufanya chochote kile ni yale manufaa tunayoyapata. Hasa pale kitu hicho kinapokuwa kigumu au kinachotugharimu wakati wa kufanya. Huwa tunaangalia ni manufaa gani ambayo tunayapata. Huwa hatukubali kuteseka mpaka tuwe (more…)

#TAFAKARI YA ASUBUHI; ALIYEKUKASIRISHA NI WEWE…

By | June 15, 2020

“If someone succeeds in provoking you, realize that your mind is complicit in the provocation.” – Epictetus Kama umekasirishwa kwa namna yoyote ile, jua kabisa aliyekukasirisha ni wewe mwenyewe. Kama umedharauliwa na wengine, jua wa kwanza kukudharau ni wewe mwenyewe. Hakuna mtu yeyote mwenye nguvu ya kufanya chochote kwenye maisha (more…)

#TAFAKARI YA ASUBUHI; ILI MAISHA YAKO YAWE RAHISI…

By | June 13, 2020

“When you make an effort not to blame other people, your life becomes much easier, but very few people make this small effort.” – Leo Tolstoy Kama unataka maisha yako yawe rahisi, acha kuwalaumu wengine. Shika hatamu ya maisha yako na jua chochote kinachotokea au kutokutokea kwenye maisha yako ni (more…)

#TAFAKARI YA ASUBUHI; UNAYACHUKUKIAJE MATESO…

By | June 12, 2020

“You should look in suffering for the seeds of your future spiritual growth, or the bitterness of suffering will be severe.” – Leo Tolstoy Unapopitia magumu na mateso kwenye maisha yako, Una njia mbili za kuyaangalia. Unaweza kuyaangalia kama kitu kibaya kinachokuja kukuumiza, na kwa namna hiyo mateso hayo yanakuwa (more…)

#TAFAKARI YA ASUBUHI; KILA WAZO LINA MADHARA…

By | June 11, 2020

“Every thought a person dwells upon, whether he expresses it or not, either damages or improves his life.” —LUCY MALORY Kila wazo unaloruhusu likae kwenye akili yako, Lina madhara kwenye maisha yako, Iwe utalifanyia kazi wazo hilo au la. Madhara ya wazo yanategemea aina ya wazo lenyewe. Kama wazo ni (more…)

#TAFAKARI YA ASUBUHI; KUELEWA PEKEE HAITOSHI, FANYA KITU…

By | June 10, 2020

“It’s not enough to understand; you’ve got to do something.” — Sandra Day O’Connor Umesoma kitabu na kuielewa dhana fulani vizuri, usiishie hapo, fanya kitu kwa dhana hiyo uliyoielewa. Umemsikiliza mtu akifundisha kitu fulani na kuelewa vizuri, usiishie hapo, nenda kachukue hatua mara moja kwa kile ulichoelewa. Unaweza kuelewa vizuri (more…)

#TAFAKARI YA ASUBUHI; WATU UNAOPASWA KUJIHUSISHA NAO…

By | June 9, 2020

“Associate with people who are likely to improve you.” — Seneca Watu pekee unaopaswa kujihusisha nao, ni wale ambao wanaweza kukufanya uwe bora kuliko ulivyo sasa. Hawa ndiyo watu wanaoongeza thamani kwenye maisha yako, Watu ambao wanakupa nafasi ya kujifunza kitu kutoka kwao au kupata hamasa ya kupiga hatua zaidi. (more…)

#TAFAKARI YA ASUBUHI; KAMA HUTAKI MAADUI…

By | June 7, 2020

“Be strict in judging yourself and gentle in judging others, and you will have no enemies.” — CHINESE WISDOM Kama hutaki maadui kwenye maisha yako, Kuwa mkali kwenye kujihukumu mwenyewe na mpole kwenye kuhukumu wengine. Sisi binadamu huwa hatuoni kitu kama kilivyo, bali huwa tunakiona kama tunavyokihukumu. Yaani tunaanza kwa (more…)