#TAFAKARI YA ASUBUHI; SIYO KWA MANUFAA YAKO PEKEE…
“The improvement of society can be achieved only by the moral improvement of individuals.” – Leo Tolstoy Msukumo mkuu kwetu kufanya chochote kile ni yale manufaa tunayoyapata. Hasa pale kitu hicho kinapokuwa kigumu au kinachotugharimu wakati wa kufanya. Huwa tunaangalia ni manufaa gani ambayo tunayapata. Huwa hatukubali kuteseka mpaka tuwe (more…)
