#TAFAKARI YA LEO; MAMBO YATAKWENDA VIZURI…
“Don’t lament this and don’t get agitated.” —MARCUS AURELIUS, MEDITATIONS, 7.43 Sisi ni nani mpaka tustahili kuiona siku hii ya leo? Tukiwaangalia wale ambao walikuwa na mipango mikubwa kwa siku hii ila hawajaifikia, ndiyo tunagundua kwamba tuna bahati ya kipekee kuiona siku hii. Siyo kwa nguvu zetu wala ujanja wetu, (more…)
