Category Archives: SIKU 30 ZA MAFANIKIO

SIKU YA 1; Nguvu Ya Kujua Ni Nini Unataka Na Utakipataje.

By | September 1, 2014

Karibu sana kwenye SIKU 30 ZA MAFANIKIO MAKUBWA, katika siku hizi 30 utajifunza mambo yote muhimu unayohitaji kujua ili kuweza kufikia mafanikio makubwa kwenye maisha yako. Kumbuka kwamba unaweza kufikia mafanikio makubwa kwenye jambo lolote unalofanya au unalotaka kufanya. Kikubwa ni wewe kujua misingi unayotakiwa kufuata na kisha kuifuata na (more…)