Category Archives: THINK AND GROW RICH

THINK AND GROW RICH; Hatua Ya Kwanza Ya Kuelekea Kwenye Mafanikio. – 2

By | January 16, 2015

Karibu kwenye sehemu hii ya uchambuzi wa vitabu na sasa tunachambua kitabu THINK AND GROW RICH. Katika sehemu iliyopita ya uchambuzi tuliona hatua sita za kufikia lengo lolote la kifedha au utajiri unaotaka. Naamini umeshatengeneza hatua zile, kama bado tafadhali rudia tena kusoma makala ile na utengeneze maelezo mafupi kwa (more…)

THINK AND GROW RICH; Hatua Ya Kwanza Ya Kuelekea Kwenye Mafanikio. – 1

By | January 15, 2015

Hatua ya kwanza kabisa ya kuelekea kwenye mafanikio ni kuwa na hamu au shauku kubwa sana ya kufanikiwa. Katika hadithi ya Edwin tuliyoona kwenye uchambuzi uliopita, kilichomfanya akamtafute Edson ni hamu yake kubwa ya kutaka kufanikiwa. Hakukubali kurudishwa nyuma na kikwazo chochote. Edwin alikuwa na hamu kubwa sana ya kufanikiwa, (more…)

THINK AND GROW RICH; SURA YA KWANZA

By | January 9, 2015

Mtu aliyetamani kuingia kwenye ubia na Thomas A. Edison. Ni kweli kwamba mawazo ni vitu ambavyo kama vikichanganywa na malengo, uvumilivu na shauku kubwa lazima yatamfikisha mtu kwenye utajiri wa mali. Edwin C Barnes alitamani sana kuingia kwenye ybia naThomas Edison(Thomas Edison alikuwa mwanasayansi na mgunduzi mkubwa sana wa enzi (more…)

THINK AND GROW RICH; SURA YA KWANZA

By | January 9, 2015

Mtu aliyetamani kuingia kwenye ubia na Thomas A. Edison. Ni kweli kwamba mawazo ni vitu ambavyo kama vikichanganywa na malengo, uvumilivu na shauku kubwa lazima yatamfikisha mtu kwenye utajiri wa mali. Edwin C Barnes alitamani sana kuingia kwenye ybia naThomas Edison(Thomas Edison alikuwa mwanasayansi na mgunduzi mkubwa sana wa enzi (more…)

UCHAMBUZI WA KITABU; THINK AND GROW RICH.

By | January 8, 2015

Habari za leo mpenzi msomaji wa KISIMA CHA MAARIFA, karibu kwenye kipengele hiki cha uchambuzi wa vitabu ambapo tunapata nafasi ya kujifunza mambo mazuri yanayopatikana kwenye vitabu mbalimbali. Kwa mwaka jana tulifanikiwa kufanya uchambuzi wa kitabu RICH DAD POOR DAD na uchambuzi wa kitabu THE RICHEST MAN IN BABYLON. Katika (more…)