#TAFAKARI YA LEO; WANAPOKUKOSOA FURAHI…
Kwa sababu ni kiashiria kwamba unafanya kitu kikubwa na cha tofauti. Pia ukosoaji wao unakupima kama kweli unakiamini na kukisimamia kile unachofanya. Ukosoaji, upingaji na ukatishaji tamaa wa wengine, ni vitu vyenye manufaa kwako, maana ukiweza kuvivuka, utakuwa imara kupata chochote unachotaka. Ukurasa wa kusoma ni wanaokukosoa wanakusaidia; www.kisimachamaarifa.co.tz/2021/06/09/2352 #NidhamuUadilifuKujituma (more…)