Tag Archives: HADITHI ZA MAFUNZO

#HADITHI_FUNZO; Kijana Aliyenusurika Kuliwa Na Mamba.

By | January 12, 2015

Tajiri mmoja aliyekuwa anamiliki ardhi kubwa, wanyama na fedha nyingi alifanya sherehe ya kumwalika binti yake nyumbani. Binti huyu alikuwa amesafiri kwa muda mrefu nje ya nchi kimasomo. Kwenye sherehe hii tajiri huyu alialika watu wote katika aneo lile. Sherehe ilikuwa kubwa na watu walikunywa na kufurahia, ilipofika usiku tajiri (more…)

#HADITHI_FUNZO; Chochote Kinachotokea Huwezi Kujua Ni Kizuri Au Kibaya

By | January 5, 2015

Palikuwa na mkulima mmoja ambaye alikuwa anamiliki farasi wake waliyekuwa anamsaidia shughuli mbalimbali. Siku moja farasi yule alitoweka na hakuonekana tena. Wanakijiji wenzake walikuja kumfariji na kumpa pole kwa pigo alilopata. Yeye aliwauliza nani ajuaye kama kilichotokea ni kibaya au kizuri? Watu wale waliondoka huku wakimshangaa. Siku chache baadae farasi (more…)