Tag Archives: HUDUMA KWA WATEJA

BIASHARA LEO; Ondoka, Hakuna Aliyekuita Hapa.

By | April 1, 2015

Karibu tuendelee kupeana dondoo muhimu sana za wewe kufanikiwa kupitia biashara unayofanya. katika dondoo hizi tunaangalia makosa yanayofanywa na wafanyabiashara wengi na yanayowazuia kupata mafanikio. Pia tunaangalia changamoto zinazowazuia wafanyabiashara wengi kushindwa kufanikiwa kupitia biashara zao. Jinsi unavyotoa huduma au bidhaa zako kwa wateja, jinsi unavyozungumza nao, jinsi unavyowapokea, kunaeleza (more…)

BIASHARA LEO; Fukuza Wateja Hawa, Ni Mzigo Kwako.

By | March 31, 2015

Jana kwenye mbinu ya biashara tuliangalia mwisho wa ufalme wa mteja. Tuliona ni wakati gani ambapo mteja anaacha kuwamfalme na umuhimu wa kujua hilo. Kama hukupata nafasi ya kusoma makala ya jana isome hapa; BIASHARA LEO; Mwisho Wa Ufalme Wa Mteja. Leo tutaangalia wateja ambao unatakiwa kuwafukuza mara moja. Wateja (more…)

BIASHARA LEO; Mwisho Wa Ufalme Wa Mteja.

By | March 30, 2015

Ni kauli maarufu sana kwenye biashara kwmaba MTEJA NI MFALME. Kauli hii ni kweli ila sio kweli mara zote na kwa hali zote. Kuna wakati ambapo mteja anaacha kuwa mfalme. Ni muhimu kujua wakati huo ili usiendelee kupoteza muda mwingi kwa mteja ambaye sio sahihi kwako. Mteja ni mfalme kwa (more…)