Tag Archives: JE WAJUA?

JE WAJUA? Mambo Kumi Usiyojua Kuhusu Kupumua.

By | September 26, 2014

1. Mtu mzima anapumua mara 23,000 kwa siku. 2. Kazi kubwa ya kupumua sio kupata oxygen, bali kuondoa kabon dayoksaidi. 3. Kupumua kwa kutumia mdomo ni hatari kwa afya yako. 4. Unavyopumua kwa kasi ndivyo inavyozidisha njaa na acid kwenye mwili wako. 5. Unatakiwa kufanya mazoezi kwa kiwango ambacho utaweza (more…)