Tag Archives: MPANGO WA BIASHARA

SABASABA, mambo muhimu kwa kila mfanyabiashara kutafakari kwenye msimu huu.

By | July 6, 2015

Tarehe saba ya mwezi wa saba kila mwaka ni sikukuu ya wafanyabiashara. Ni siku maalumu ambayo imetengwa na serikali kwa ajili ya wafanyabiashara kuazimisha kile ambacho wamekuwa wanafanya kwenye biashara zao. Msimu huu wa sabasaba kila mwaka hutawaliwa na maonesho ya kibiashara kwenye viwanja mbalimbali nchini. Wafanyabiashara wengi wamekuwa wakitumia (more…)

BIASHARA LEO; PANGA MARA KUMI.

By | April 25, 2015

Uliisoma na kuielewa vizuri sheria ya mara mbili mara tatu? Kama hukuisoma ni muhimu sana wewe kufanya hivyo kwa sababu itakusaidia sana kwenye mipango yako ya muda na fedha kwenye biashara unayofanya. Unaweza kuisoma hapa; Tumia Sheria Ya Mara 2, Mara 3 Kwenye Mipango Yako Ya Biashara. Leo nakupa sheria (more…)

BIASHARA LEO; Tumia Sheria Ya Mara 2, Mara 3 Kwenye Mipango Yako Ya Biashara.

By | April 17, 2015

Pamoja na uwezo mkubwa ambao tunao, pamoja na maarifa mengi tunayoweza kujikusanyia bado hakuna mtu anayeweza kuitabiri kesho kwa asilimia 100. Hakuna. Hakuna anayejua ni nini kitakachotokea kesho kwenye maisha yake au biashara yake. Lakini hii haituzii kuweka na kufanyia kazi mipango yetu kwenye maisha na biashara zetu. SOMA; Unapokuwa (more…)