Tag Archives: TABIA ZA WATU

UKURASA WA 202; Acha Kujitengenezea Maadui Mwenyewe.

By | July 21, 2015

Inapokuja kwenye tabia halisi za binadamu huwa napenda kuweka unafiki pembeni. Ni kawaida yangu kuweka unafiki pembeni kwenye mambo yote ya kimaisha, wanafiki hawafanikiwi, hivyo na wewe usijiingize kwenye unafiki. Sawa, sasa tabia ya asili ya binadamu ni ubinafsi, na kupenda kupata zaidi ya wengine. Unahitaji kujitambua kwa kiasi cha (more…)