Makosa Makubwa Yanayofanywa Na Wajasiriamali Wageni.

By | January 19, 2015
Kama ilivyo kwenye jambo lolote kwenye maisha, watu wanaoingia kwenye ujasiriamali kwa mara ya kwanza huwa wanafanya makosa mengi sana. Kwa wale wanaogundua makosa haya na kuyatumia vizuri wanaweza kufanikiwa sana. Ila wale wanaoshindwa kujifunza kupitia makosa yao huishia kushindwa na kukata tamaa kabisa. Kama unataka kuingia kwenye ujasiriamali ni

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA NA UJASIRIAMALI

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz