MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
Uwekezaji wa faida kwenye biashara.
Moja ya njia ambazo wajasiriamali na wafanyabiashara wadogo wanazotumia kupata mtaji wa biashara ni kupitia akiba zao wenyewe. Hii ni njia bora sana kwani inakupa wakati mzuri wa kuweza kukuza biashara yako bila ya kufikiria kuhitajika kulipa mkopo wakati bado biashara haijakomaa. Lakini pia wajasiriamali na wafanyabiashara wengi wadogo wamekuwa