#HADITHI_FUNZO; Dakika Ya Mwisho Kabla Ya Kufa…

By | February 2, 2015
Mtu mmoja alikuwa akipita msituni na hamadi akakutana na chui mkali.  Ili kuokoa maisha yake alikimbia sana. Kwa mbio zake alijikuta kwenye kona ya mteremko mkali sana. Palikuwa na mzabibu uliokuwa unaning’inia kwenye mteremko ule na hivyo akaninginia nao. SOMA; Kitu Kimoja Cha Kufanya Kila Siku Ili Ufikie Malengo Yako

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KUTOKA KWA KOCHA Tags:

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz