UKURASA WA 33; Tengeneza Mtandao Wako Wa Mafanikio.

By | February 2, 2015
Ukweli ni kwamba hakuna mtu anayeweza kufanya kila kitu yeye mwenyewe. Na hata kwenye mafanikio, hakuna mtu ambaye anaweza kusema amefikia mafanikio yeye mwenyewe kwa nguvu zake mwenyewe tu. Ili kufikia mafanikio unahitaji ushirikiano wa watu wengi sana. Ni muhimu sana kutengeneza mtandao ambao utakufikisha kwenye mafanikio. Shirikiana na watu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In