UKURASA WA 63; Usikazane Kushindana, Kazana Kuwa Bora.

By | March 4, 2015
Katika jambo lolote unalofanya kwenye maisha, kuna watu watakuwa wanashindana na wewe, hata kama hawashindani wanajipanga kukushinda. Kama unafanya biashara, wakati wewe unakazana usiku na mchana kukuza biashara yako, kuna watu wanakazana usiku na mchana kukuondoa kwenye biashara hiyo. Kama unafanya kazi na ukawa na cheo kuna watu wanakazana usiku

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In