TAFAKARI YA LEO; Urefu Wa Muda Sio Mrefu.

By | March 20, 2015
Utaanza lini kutekeleza mipango mizuri uliyoweka? Muda sio mrefu. Karibu kila mmoja wetu ameshaingia kwenye mtego huu, wa kufikiria muda sio mrefu. Lakini swali la msingi ni urefu wa muda sio mrefu ni upi? Yaani unaposema muda sio mrefu, kiuhalisia unamaanisha nini? Kesho? Wiki ijayo? Mwezi ujao? Mwaka ujao? Kulingana

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KUTOKA KWA KOCHA Tags:

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz