UKURASA WA 537; Kujua Na Kufanya…

By | June 22, 2016
Kujua na kufanya ni vitu viwili tofauti kabisa. Japo wengi wamekuwa wanavifananisha, lakini ni vitu ambavyo havifanani hata kidogo. Kujua ni hatua moja, kufanya ni hatua nyingine muhimu sana. Na mbaya zaidi kufanya ni hatua ngumu kuliko kujua. Watu wengi wanajua ya kwamba kula vyakula bora ni muhimu kwa afya

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz