UKURASA WA 580; Kama Hutaki Kubaki Kwenye Kundi….

By | August 2, 2016
Ni kitu ambacho wote sasa tunajua ya kwamba huwezi kufanikiwa kama unafuata kundi la watu. Hii ina maana kwamba kama unaendesha maisha yako kama kila mtu anavyoyaendesha, kwa kufanya kile ambacho wengi wanafanya na kwa namna wanavyofanya, itakuwa vigumu kwako kufikia mafanikio makubwa. Kwa nini? Kwa sababu watu wengi hawapendi

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz