UKURASA WA 1135; Ujasiri Ni Uvumilivu…

By | February 8, 2018
Kuna watu ambao tukiwaangalia kwa nje tunasema watu hawa ni jasiri, tunatamani tungekuwa na mioyo kama yao, mioyo ambayo haiogopi chochote na inaweza kuchukua hatua hatari bila ya hofu. Tusichokiona ni kwamba, wale ambao kwa nje tunawaona ni jasiri sana na hawana hofu, ndani yao wana hofu kubwa. Wana hofu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz