MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
#TAFAKARI YA LEO; MAPUMZIKO BILA KUJIFUNZA NI KIFO….
“Leisure without study is death—a tomb for the living person.” —SENECA, MORAL LETTERS, 82.4 Tunapaswa kushukuru sana kwa nafasi hii nyingine nzuri tuliyoiona leo, Siyo wote waliopanga kuiona siku hii wameweza kuiona, tuna bahati ya kipekee na tunapaswa kuitumia kwa kufanya yale yaliyo sahihi kwetu na kwa wengine. Msingi wetu