MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
#TAFAKARI YA LEO; UNAJIUMIZA MWENYEWE…
“The person who does wrong, does wrong to themselves. The unjust person is unjust to themselves—making themselves evil.” —MARCUS AURELIUS, MEDITATIONS, 9.4 Ni siku mpya, siku bora na ya kipekee sana kwetu. Tumeipata nafasi bora kwetu kwenda kuweka juhudi kubwa ili kuweza kupata matokeo bora sana. Msingi wetu ni NIDHAMU,