Barua ya XXI; Kuhusu Sifa ambazo falsafa ya Ustoa inatupatia. Rafiki yangu Mstoa, Sisi binadamu huwa tunapenda kuwa na sifa fulani mbele ya wengine.Huwa tunapenda umaarufu kupitia yale tunayofanya au tunayokuwa nayo kwenye maisha.Na tamaa hiyo ya sifa na umaarufu ndiyo inawasukuma wengi kufanya hata mambo yasiyo sahihi ili tu (more…)
Mazoezi 10 Ya Falsafa Ya Ustoa Yatakayofanya Uwe Na Maisha Bora. Habari Mstoa Mwenzangu,Karibu kwenye mwendelezo wa mafunzo yetu ya falsafa ya Ustoa, mafunzo ambayo ni ya kutuwezesha kuchukua hatua ili kuwa na maisha bora. Hapa tunakwenda kujifunza mazoezi kumi ya Falsafa ya Ustoa, ambayo tukiyafanya kuwa sehemu ya maisha (more…)
Misingi Mikuu Kumi Ya Falsafa Ya Ustoa. Ustoa ni falsafa ya vitendo iliyoanzia Ugiriki ya kale na baadaye kuhamia Roma ya kale.Falsafa hii ilianzishwa na Zeno ambaye alikuwa mfanyabiashara na kwenye moja ya safari zake za kibiashara meli yake iliharibika na kupata hasara kubwa. Ni katika kutafuta namna ya kujiliwaza (more…)
Habari Mwanamafanikio? Karibu kwenye kipindi cha ONGEA NA KOCHA ambapo tumepata nafasi ya kujadili kwa kina uchambuzi wa kitabu kinachoitwa Breakfast With Seneca. Ni kitabu kinachoelezea vizuri falsafa ya Ustoa kwa namna inavyoweza kutumika kwenye zama tunazoishi sasa. Mwandishi amekusanya pamoja kazi za Seneca kwa namba ambayo zinajibu changamoto nyingi (more…)
“Be wise and self-controlled, and share in courage and justice … the art by which a human would become good. We must do just that!” —Musonius Rufus Falsafa ya Ustoa ina misingi mikuu minne. Misingi hiyo tunaweza kuigawa kwenye pande mbili, upande wa kwanza ni kwetu wenyewe na upande wa (more…)
“Our rational nature moves freely forward in its impressions when it: 1) accepts nothing false or uncertain; 2) directs its impulses only to acts for the common good; 3) limits its desires and aversions only to what’s in its own power; 4) embraces everything nature assigns it.” —MARCUS AURELIUS, MEDITATIONS, (more…)
“Trust me, real joy is a serious thing. Do you think someone can, in the charming expression, blithely dismiss death with an easy disposition? Or swing open the door to poverty, keep pleasures in check, or meditate on the endurance of suffering? The one who is comfortable with turning these (more…)
JUMA LA USTOA 2018. Habari mwanamafanikio, Moja ya falsafa tunayoiishi kwenye KISIMA CHA MAARIFA, ni falsafa ya ustoa, falsafa ambayo imekuwepo kwa zaidi ya miaka 2500 sasa na imekuwa ikitumiwa na wengi walioweza kutoka chini na kufanikiwa sana. Falsafa ya ustoa ilianzishwa na Zeno wa Citium miaka ya 301 K.K (more…)
UTANGULIZI KUHUSU FALSAFA. Tangu enzi na enzi kumekuwepo na falsafa mbalimbali hapa duniani. Falsafa imekuwa ni njia ambayo wanadamu wamekuwa wakiitumia kuielewa dunia, kuyaelewa maisha na kujua kwa nini wapo hapa duniani. Maisha yetu sisi binadamu ndiyo maisha ya viumbe ambao hawajaandaliwa kuendana na mazingira tunayoishi, hivyo inatuhitaji sisi kutumia (more…)
#KURASA_KUMI ZA KITABU LEO. KITABU; Philosophy for life and other dangerous situations : ancient philosophy for modern problems / Jules Evans UKurasa 74 – 83. Falsafa ya ustoa na matumizi yake katika jamii. Falsafa ya ustoa imekuwa ikichukuliwa kwa mtazamo hasi, kwamba wastoa ni watu ambao wanaficha na kukandamiza hisia (more…)