Barua ya XXI; Kuhusu Sifa ambazo falsafa ya Ustoa inatupatia.

By | September 22, 2023

Barua ya XXI; Kuhusu Sifa ambazo falsafa ya Ustoa inatupatia. Rafiki yangu Mstoa, Sisi binadamu huwa tunapenda kuwa na sifa fulani mbele ya wengine.Huwa tunapenda umaarufu kupitia yale tunayofanya au tunayokuwa nayo kwenye maisha.Na tamaa hiyo ya sifa na umaarufu ndiyo inawasukuma wengi kufanya hata mambo yasiyo sahihi ili tu (more…)

Mazoezi 10 Ya Falsafa Ya Ustoa Yatakayofanya Uwe Na Maisha Bora.

By | April 28, 2023

Mazoezi 10 Ya Falsafa Ya Ustoa Yatakayofanya Uwe Na Maisha Bora. Habari Mstoa Mwenzangu,Karibu kwenye mwendelezo wa mafunzo yetu ya falsafa ya Ustoa, mafunzo ambayo ni ya kutuwezesha kuchukua hatua ili kuwa na maisha bora. Hapa tunakwenda kujifunza mazoezi kumi ya Falsafa ya Ustoa, ambayo tukiyafanya kuwa sehemu ya maisha (more…)

Misingi Mikuu Kumi Ya Falsafa Ya Ustoa.

By | April 21, 2023

Misingi Mikuu Kumi Ya Falsafa Ya Ustoa. Ustoa ni falsafa ya vitendo iliyoanzia Ugiriki ya kale na baadaye kuhamia Roma ya kale.Falsafa hii ilianzishwa na Zeno ambaye alikuwa mfanyabiashara na kwenye moja ya safari zake za kibiashara meli yake iliharibika na kupata hasara kubwa. Ni katika kutafuta namna ya kujiliwaza (more…)

Ongea Na Kocha; Breakfast With Seneca (Falsafa Ya Ustoa)

By | January 17, 2022

Habari Mwanamafanikio? Karibu kwenye kipindi cha ONGEA NA KOCHA ambapo tumepata nafasi ya kujadili kwa kina uchambuzi wa kitabu kinachoitwa Breakfast With Seneca. Ni kitabu kinachoelezea vizuri falsafa ya Ustoa kwa namna inavyoweza kutumika kwenye zama tunazoishi sasa. Mwandishi amekusanya pamoja kazi za Seneca kwa namba ambayo zinajibu changamoto nyingi (more…)

#TAFAKARI YA LEO; TABIA NNE ZA USTOA…

By | November 18, 2019

“Our rational nature moves freely forward in its impressions when it: 1) accepts nothing false or uncertain; 2) directs its impulses only to acts for the common good; 3) limits its desires and aversions only to what’s in its own power; 4) embraces everything nature assigns it.” —MARCUS AURELIUS, MEDITATIONS, (more…)

DARASA LA WIKI; FALSAFA YA USTOA NA MATUMIZI YAKE KWENYE ZAMA TUNAZOISHI.

By | May 6, 2018

UTANGULIZI KUHUSU FALSAFA. Tangu enzi na enzi kumekuwepo na falsafa mbalimbali hapa duniani. Falsafa imekuwa ni njia ambayo wanadamu wamekuwa wakiitumia kuielewa dunia, kuyaelewa maisha na kujua kwa nini wapo hapa duniani. Maisha yetu sisi binadamu ndiyo maisha ya viumbe ambao hawajaandaliwa kuendana na mazingira tunayoishi, hivyo inatuhitaji sisi kutumia (more…)

Falsafa ya ustoa na matumizi yake katika jamii.

By | September 18, 2017

#KURASA_KUMI ZA KITABU LEO. KITABU; Philosophy for life and other dangerous situations : ancient philosophy for modern problems / Jules Evans UKurasa 74 – 83. Falsafa ya ustoa na matumizi yake katika jamii. Falsafa ya ustoa imekuwa ikichukuliwa kwa mtazamo hasi, kwamba wastoa ni watu ambao wanaficha na kukandamiza hisia (more…)