Mahitaji Matano Ya Msingi ya Kila Binadamu.

By | March 13, 2014
Ili kufanikiwa kwenye biashara, kazi na hata maisha kwa ujumla ni muhimu kujua tabia za asili za binadamu. Kuna vitu ambavyo watu wanavipenda sana kutoka ndani yao, kwa kujua vitu hivi ni rahisi kufanya nao kazi au biashara. Pia kuna vitu ambavyo watu hawavipendi, kwa kuvijua na kuviepuka itakusaidia kujenga

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA NA UJASIRIAMALI

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz