RICH DAD; Kufanya Kazi Bila Kulipwa.

By | August 21, 2014
Baada ya Robert na Mike kukubaliana wamuombe baba yake Mike awafundishe kuwa matajiri Mike aliongea na baba yake jioni na alikubwali kukutana nao siku inayofuatia. Siku hiyo Robert na Mike walifika ofisini kwa baba yake Mike, pale walikuta wafanyakazi wa baba yake Mike wakimsubiri. Ilionekana ni ofisi yenye vitu vilivyochoka

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KITABU; RICH DAD, POOR DAD

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz