RICH DAD; Somo la kwanza; MATAJIRI HAWAFANYII KAZI PESA.

By | August 22, 2014
Katika sehemu iliyopita ya uchambuzi tuliona jinsi ambavyo Robert na Mike walikubali kufanya kazi ili wafundishwe jinsi ya kuwa matajiri. Lakini pamoja na kufanya kazi kwa ujira kidogo bado hawakupata kile walichetegemea kupata. Na hii ilimfanya Robert kuamua kuacha kazi ile kwa sababu hakuona chochote alichojifunza. Hapa ndipo alipokutana na

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KITABU; RICH DAD, POOR DAD

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz