SIKU YA 7; Tiba Rahisi Kwa Walioacha Shule, Walioacha Kazi na Walioacha Maisha.

By | September 7, 2014
Kumbuka kwamba kila mmoja wetu ana hitaji kubwa la kukubalika kwa kile anachofanya au kile alichofanya. Kama hitaji hili la kukubalika lisipotimizwa, mtu hupata hisia za kutokuaminika, hofu ya kutokuweza na hatimaye kushindwa. Ni hisia hizi ambazo humfanya mtu kuamua kuacha kile anachofanya iwe ni elimu, kazi au hata maisha

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SIKU 30 ZA MAFANIKIO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz