Kundi La WhatsApp kwa Wanachama Wa GOLD Kwenye KISIMA CHA MAARIFA.

By | September 8, 2014
Napenda kuchukua nafasi hii kuwafahamisha wasomaji wote kwamba sasa kuna kundi la whatsapp kwa wanachama wa KISIMA CHA MAARIFA ambao wana uanachama wa GOLD. Katika kundi hili tunakutana na watu mbalimbali ambao tuna mtizamo sawa na kuweza kushirikishana uzoefu na jinsi tunavyokabiliana na changamoto mbalimbali. Pia kupitia kundi hili wanachama

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KUTOKA KWA KOCHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz