Je ufanye ujasiriamali au biashara ya aina gani? Jibu utalipata hapa.

By | September 15, 2014
Katika moja ya maswali ambayo huwa napata kutoka kwa wasomaji wengi ni mtu afanye ujasiriamali wa aina gani? Au wengine huuliza nina kiasi fulani cha mtaji, naomba unishauri nifanye biashara gani? Hili ni swali ambalo linawasumbua watu wengi sana na kukosekana kwa ushauri mzuri kumewafanya watu wengi kufanya maamuzi ambayo

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA NA UJASIRIAMALI

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz