SIKU YA 15; Mpango Mzuri Wa Matumizi Ya Muda Wako Ili Kufikia Mafanikio Makubwa.

By | September 15, 2014
Binadamu tunafanya mambo yetu kama vile tuna muda usioa na kikomo. Ukweli ni kwamba katika vitu ambavyo tunavyo kwa kiwango kidogo sana ni muda. Muda ni zawadi ambayo ipo kwa ukomo. Hakuna mtu yeyote anayeweza kuongeza hata sekunde moja kwenye siku hata angekuwa na uwezo au fedha nyingi kiasi gani.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SIKU 30 ZA MAFANIKIO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz