Mambo Matano Ya Kushangaza Kuhusu Siku Ya Jumatatu

By | September 29, 2014
Jumatatu ni siku ya kwanza ya wiki. Ni siku ambayo watu wanatoka kwenye mapumzimko na kuanza tena wiki ya kazi. Na kwa kuwa watu wengi hawapendi kazi wanazofanya, jumatatu inaonekana kuwa siku mbaya sana. Haya ni mambo matano ya kushangaza ambayo hutokea sana siku za jumatatu tofauti na siku nyingine

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KUTOKA KWA KOCHA Tags:

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz