Ukweli halisi kuhusu safari ya ujasiriamali.

By | September 29, 2014
Katika nyakati hizi ujasiriamali umekuwa ukizungumziwa sana katika jamii zetu. Mafunzo memgi ya ujasiriamali yametolewa na watu wengi sana wamehamasika kuingia kwenye ujasiriamali. Vyombo vya habari navyo vimeupamba sana ujasiriamali. Wajasiriamali wanaoonekana kupata mafanikio makubwa wamekuwa wakitumiwa kama mifano kwenye sehemu mbalimbali. Kila siku tunasikia habari kwamba mtu alianza na

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA NA UJASIRIAMALI

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz