NENO LA LEO; Kuhusu Kupoteza fursa.

By | October 8, 2014
Did you know that opportunities are never lost? That’s because someone will always take the ones you miss! Je wajua kwamba fursa hazipotei? Hii ni kwa sababu mtu mwingine atachukua fursa uliyoikosa wewe. Tumia sasa fursa unazoziona mbele yako kabla wengine hawajazichangamkia. Nakutakia kila la kheri. TUPO PAMOJA. Washirikishe Wengine:FacebookTwitterLinkedInMoreWhatsAppTelegram

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In