Fanya mambo haya matano kujiandaa kwa wiki inayoanza kesho.

By | October 12, 2014
Mapumziko ya mwisho wa wiki yameisha na kesho ni siku mpya ya wiki mpya. Kama ukiwa na mipango mizuri utakuwa na wiki nzuri na yenye mafanikio makubwa.Ukikosa mipango mizuri utaishia kupoteza wiki yako.Fanya mambo yafuatayo kuwa na wiki yenye mafaniki.1. Weka malengo na mipango ya wiki.2. Weka ratiba ya kila

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KUTOKA KWA KOCHA Tags:

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz