Njia Moja Muhimu Ya Kuwa Kiongozi Bora.

By | October 12, 2014
Ni muhimu sana wewe kuwa kiongozi na ni muhimu zaidi kuwa kiongozi bora. Tunaposema ni muhimu wewe kuwa kiongozi haimaanishi kuwa kiongozi wa kisiasa au kiserikali bali ni uwe kiongozi kwenye jambo lolote unalofanya. Iwe umeajiriwa kwenye kitengo fulani, fanya kazi yako kama kiongozi. Iwe umejiajiri au unafanya biashara, fanya

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KUTOKA KWA KOCHA Tags:

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz