Mambo sita yatakayokufanya uwe na furaha zaidi.

By | October 13, 2014
Furaha sio kitu ambacho unapewa na mtu. Ni kitu ambacho kinatoka ndani yako mwenyewe. Kuna baadhi ya mambo ukifanya unaongeza furaha yako. Haya hapa ni sita kati ya mambo hayo.1. Fanya mazoezi.Kufanya mazoezi kunafanya mwili kuwa imara na hivyo kuweza kufanya mambo mengi unayotaka. Hakuna kitu kinachoondoa furaha kama kuumwa.2.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KUTOKA KWA KOCHA Tags:

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz