Aina Mbili Za Ujinga.

By | December 2, 2014
Kuna aina mbili za ujinga, kulingana na uelewa wa mjinga mwenyewe. Kuna ujinga wa juu juu ambapo mtu hajui lakini anafikiri kuna mtu anajua. Na kuna ujinga wa kweli ambapo mtu hajui na anajua hakuna anayejua. Wanafunzi wana ujinga wa juu juu, Wataalamu wana ujinga wa kweli. Hii ndio inatufanya

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KUTOKA KWA KOCHA Tags:

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz