Hii Hapa Ni Njia Rahisi Ya Kujitolea Uvivu Mwaka Huu 2015

By | January 4, 2015
Mara nyingi huenda umekuwa mtu wa kuahirisha mambo. Unaweka mipango yako vizuri ila inapofikia utekelezaji unaahirisha na kusema utafanya baadae au utafanya kesho. Sasa kuna dawa moja ya kuondoa kabisa uvivu huu. Fikiria hivi, ambao ndio ukweli; Wakati wewe umelala kuna mwenzako anapiga mzigo ili kufanikiwa. Wakati wewe unakula kuna

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KUTOKA KWA KOCHA Tags:

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz