Sikukuu Zimesisha Sasa Kinachoanza Ni Kazi..

By | January 4, 2015
Wiki chache zilizopita zimekuwa wiki zenye sikukuu na mapumziko mengi. Tumekuwa na sikukuu za krismas na hata mwaka mpya. Katika sikukuu hizi watu wengi walipumzika na kupata starehe pia. Sasa msimu wa sikukuu unaisha rasmi leo na kesho jumatatu kazi zinaanza kwa kasi ya ajabu pia. Licha ya kuanza kwa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KUTOKA KWA KOCHA Tags:

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz