Vifo Vinavyosababishwa Na Uvutaji Wa Sigara.

By | January 7, 2015
Uvutaji wa sigara peke yake unasababisha asilimia 20 ya vifo vyote vya kansa duniani na asilimia 70 ya vifo vinavyotokana na kansa ya mapafu. Kumbuka madhara haya yanaweza kukupata hata kama huvuti moja kwa moja ila unakaa karibu na wanaovuta. Moshi wa sigara una kemikali hatari sana zinazosababisha kansa. Epuka

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KUTOKA KWA KOCHA Tags:

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz