#HADITHI_FUNZO; Mto Unaotiririsha Watoto.

By | January 23, 2015
Kulikuwa na kundi la watu ambao walikuwa wamesimama kando kando ya mto. Mara watu wale walisikia sauti ya mtoto akilia kwenye maji. Walistuka sana kuona mtoto analia na kuzama kwenye maji. Mtu mmoja kwenye kundi lile aliruka haraka na kwenda kumwokoa mtu yule. Wakati akiwa kwenye maji, mara wakasikia sauti

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KUTOKA KWA KOCHA Tags:

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz